RFI Kiswahili

RFI Kiswahili

Kenya English

About

RFI ni inajihusisha na masuala ya sasa, kituo cha redio ambacho kinatangaza duniani kote katika lugha za kigeni 16 na kifaransa. (* Kifaransa, Kiingereza, Kikambodia, Kichina, Kichina cha jadi, Kihispania, Kihausa, Kimandinka, Fulfulde, Kiswahili, Kiajemi, Kireno, Kibrazili, Kirumi, Kirusi, Kiukreni, Kivietnam ) Kinategemea utaalamu wa timu yake ya wahariri wa mjini Paris na mtandao wa kipekee wa kimataifa wa waandishi wa habari 400 ili kutoa taarifa za habari na makala ambavyo uwapa wasikilizaji ufunguo wa kuelewa dunia. Takriban watu milioni 40 wasikilizaji dunianiwanasikiliza RFI kila wiki na majukwaa yake ya vyombo vya habari uvutia watu milioni 10 kwa mwezi wanaotembelea mtandao.
Related Stations
Fire Fm
Fire Fm Kenya
Kass FM
Kass FM Kenya
Casper Radio
Casper Radio Kenya
Fuse Radio
Fuse Radio Kenya